Polisi yazuia sherehe za ubingwa Liverpool Sherehe kama hizi za ligi ya mabingwa hazitoruhusiwa leo kwa Liverpool Polisi ya Merseyside imeonya mashabiki wasikusanyike nje ya uwanja kwa kudhani Liverpool italitembeza kombe la ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza. Read more about Polisi yazuia sherehe za ubingwa Liverpool