Polisi yazuia sherehe za ubingwa Liverpool

Sherehe kama hizi za ligi ya mabingwa hazitoruhusiwa leo kwa Liverpool

Polisi ya Merseyside imeonya mashabiki wasikusanyike nje ya uwanja kwa kudhani Liverpool italitembeza kombe la ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS