Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima wa Tumbaku Singida kunufaika

Thursday , 1st Jun , 2023

Wakulima wa zao la Tumbaku wilayani Manyoni mkoani Singida, wanatarajia kunufaika na kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni tisa na milioni mia saba kupitia vyama vya ushirika baada ya kuzalisha kilogram milioni 2 na laki 1 za Tumbaku msimu huu

Tayari kampuni nne zimejitokeza kununua kwa wastani wa bei ya kitaifa ya dola mbili kwa kilo

Wakizungumza na EATV katika uzinduzi wa soko la tumbaku msimu wa kilimo 2022/2023 iliyofanyika kata ya Mitundu halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, wakulima hao wamezungumzia fursa ya kilimo hicho kwa kuwa miaka kadhaa iliyopita kilimo hicho kilionekana kusuasua kutokana na kukosekana kwa masoko.

Kutokana ongezeko la bei vyama vya ushirika vitanufaika na kutoa hamasa kwa wakulima kuendelea kulima ziadi katika msimu ujao kama anavyosema Anasia Kimambo meneja wa chama kikuu cha ushirika na na masoko kanda ya kati 

Kwa upande wao wanunuzi kutoka kampuni ya Alliance one na Magefa wanasisitiza wakulima kuingiza mazao yao sokoni mapema ili kupata mdaraja yenye ubora na kupata motisha.

Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya Manyoni afisa tarafa ya Itigi Eliuta Kidenya amewataka wakulima hao kupeleka tumbaku bora badala ya kuchanganya na vitu visitakiwa kwa lwngo la kuongeza uzito katika kilo.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu