Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wajasiriamali zaidi ya 400 wawezeshwa kibiashara

Monday , 29th May , 2023

Zaidi ya mama lishe, vijana na baba lishe 450 wamepatiwa vifaa vya kufanyia kazi zao ikiwemo mitungi ya gesi,kabati maalum ya kuhifadhia chakula,pamoja na sare za kufanyia kazi ikiwa ni uwezeshwaji awamu ya tatu kupitia kapeni ya chipsika kiajira na coke

Baadhi ya wajasiriamali kati ya hao 450 walionufaika wamesema familia nyingi zinaingia katika mazingir magumu ya kiuchumi kutokana na wengi kukwama kupata mitaji ya kuanza biashara zao hivyo kuishukuru kamopuni hiyo kwa uwezeshaji huo.

Kwa upande wake meneja masoko kutoka kampuni hiyo amesema hiyo ni awamu ya tatu ambapo tayari huko nyuma wamewezesha mitaji vijana zaidi ya mia 600 lengo ikiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa kila mjasiriamali kupitia kampeni hiyo ya chipska na coke.

Akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila mkuu wa wilaya ya kinondoni amewataka wadau wengine kuiga mfano huku akibainisha kwa kinondoni manispaa iko miradi mingi ambayo wadau wanaweza kujitokeza kushirikiana na serikali akiwataka watanzania waliopata uwezeshaji huo kuinuka kiuchumi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi