Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo ya mapigano yapamba moto

Monday , 16th Jan , 2023

Wachezaji 40 wa sanaa za mapigano wanatarajia kushiriki Ligi ya Fay herous ambayo itaanza Februari 25 mwaka huu kwenye fukwe ya Azura Dar Es Salaam.

Ligi hiyo imeandaliwa  na Chama cha Wushu(TWA)  Tanzania kwa kushirikiana na Kamisheni ya Kusimamia ngumi za Kulipwa Tanzania ( TPBRC) na Klabu ya Fay Herous .

Katibu Mkuu wa  TWA  Sensei Gola Kapipi ,alisema kuwa wachezaji hao ni WA michezo ya ngumi za Kulipwa ,kickboxing Judo ,Karate na Wushu.

"Ligi Hii itakuwa inafanyika kila mwezi na tunatoa Fursa  kwa michezo ambayo haifanyi mashindano  iweze kutoa nafasi ya Vijana kushiriki  waweze kujitengenezea kupata ajira na kuinua michezo hiyo," alisema Sensei Kapipi.

Naye Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli,alisema kuwa kwa ngumi za Kulipwa itashirikisha mapambano tisa  kati ya hayo  yapo ya Wanawake.

'' lengo ni kukuza,kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana kupitia mchezo huo''Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli

Kwa upande wa Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Uhusiano na mawasiliano  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT )  Najaha Bakari,aliwaomba wadau na wadhamini kujitokeza kuunga mkono kwa kusaidia kufanikisha Ligi hiyo.

'' Wito  mwingine kwa waandaji kuendelea kuandaa mashindano mengi Ili kutoa fursa kwa wachezaji kushiriki  na kuibua vipaji mtaani  Ili kuweza kupata wawakilishi bora  kimataifa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala