Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuwainua kiuchumi vijana

Friday , 6th Jan , 2023

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo na nakshi za majengo maarufu kama Tanga stone wameiomba Serikali kuwawezesha kimitaji kwa kuwapatia tenda mbalimbali za ujenzi kwenye miradi ya kiserikali ili kupata fursa ya kukuza mitaji na kujiinua kiuchumi.

Kwa takribani miaka 25 kijana aliyejitambulisha kwa jina la Abbas Abdalah amekuwa akijihusisha na uuzaji wa mawe ya urembo ambayo huyafata jijini Tanga na kuyaleta hapa jijini Dar es Salaam kisha kuyauza kwa matumizi mbalimbali ameeleza changangamoto za kibiashara anazokutana nazo ikiwemo udogo wa mtaji licha ya kupata oda kubwa za wateja ambazo hana

Amesema licha ya Serikali kutoa mikopo kwa baadhi ya makundi ya vijana yeye amekuwa akichengana na fedha hizo na hajawahi kuzipata hivyo sasa kuomba serikali iwatambue vijana wenye uwezo na mawazo kupata sehemu kwenye miradi ya kisekta ili kuwakuza kibiashara.

Pamoja na ugumu anaopitia katika biashara zake wapo vijana ambao amekuwa akiwashirikisha pindi anapopata tenda kubwa za wateja hivyo kuwa sehemu ya kipato chao

Tanzania inatajwa kuwa na rasilimali nyingi za asili ikiwemo Mawe haya ambayo huchimbwa ardhini yakiwa na uwezo wakutumiwa katika majengo tofauti tofauti.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20