Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Operesheni Mabeyo waonywa picha za utupu

Wednesday , 28th Sep , 2022

Mkuu wa mkoa wa Tanga Omari Mgumba, amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya operesheni Jenerali Venance Mabeyo 2022 wanaokwenda kujiunga na vyuo vikuu, kutumia vizuri mitandao ya kijamii badala ya kuweka picha za utupu ambazo zimekuwa zikiwadhalilisha na kuleta fedheha kwa Taifa.

Mkuu wa mkoa wa Tanga Omary Mgumba, akikagua vijana wanaomaliza mafunzo

Mgumba ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo katika kambi ya JKT Kabuku 835 KJ wilayani Handeni mkoani Tanga, ambapo alisema vijana wengi waliopo vyuoni wamekuwa na uhuru uliopitiliza na kufanya mambo bila uwepo wa usimamizi.

"Niwasihi wazazi wenzangu muwe mnafanya kuwatembelea watoto wenu wanapokuwa vyuoni, lakini wahitimu leo niwaase mkatumie vizuri mitandao ya kijamii kwa ajili ya faida na sio vinginevyo maana vijana wengine waliopo vyuoni wanaweza kudanganywa kwenye mitandao ya kijamii ukashurutishwa jambo ambalo unaweza kufanya kwa tamaa,"amesema RC Mgumba

Mkuu huyo wa mkoa huyo amesema matokeo yake wanadhalilisha wazee wao, jamii na ndugu na Taifa kwa ujumla hivyo hakikisheni suala la nidhamu mnalishikilia kweli hasa wale wanaoenda kuishi vyuoni.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala