Taa za disko
Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Sahili Geraruma, ameshangwazwa na wataalamu waliosimamia ujenzi wa majengo hayo kwa kutokuwa ya kisasa.
Akiendelea kubainisha dosari kiongozi huyo hajapendezwa pia na namna ambavyo mabomba yalivyotapakaa ukutani na kusema ujenzi huo sio wa kisasa.