Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgogoro wa wavuvi wa Tanzania na Kenya kutatuliwa

Wednesday , 17th Aug , 2022

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Hamad Masauni amesema serikali inaangalia namna ya kutafuta ufumbuzi wa kutatua tatizo la kimpaka kwenye bahari ya Hindi kati ya Tanzania na Kenya baada ya kuwepo kwa muingiliano wa shughuli za uvuvi kati ya wavuvi wa nchi hizo mbili 

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Hamad Masauni

 

Waziri Masauni ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea bandari ndogo ya Moa na baadae Horohoro kwenye  mpaka wa Tanzania na Kenya. 

Amesema kuwa  kati ya mambo ambayo serikali inataka kuanza nayo ni pamoja na kuanzisha kitengo cha uhamiaji cha wanamaji kitakachosaidia pindi kikosi maalumu cha kuzuia magendo Zanzibar KMK watakapoondoka wilayani humo kazi ya kulinda mipaka na usalama ifanywe na jeshi hilo la uhamiaji.

 
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Kanal Maulid Sulumbu amekiri ukosefu wa kituo cha polisi katika eneo kuimarisha masuala ya ulinzi kutokana na eneo hilo kuwa lango la wahamiaji haramu. 

Ziara ya Waziri Masauni imekuja siku moja mara baada ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutembelea katika wilaya hiyo ambapo alikutana na kero ya wahamiaji haramu wanaopitia mpaka wa Horohoro

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala