Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pogba agoma kufanyiwa upasuaji

Wednesday , 3rd Aug , 2022

Taarifa kutoka Turin nchini Italia zinasema kiungo wa Juventus raia wa Ufaransa Paul Labile Pogba amekataa kufanyiwa upasuaji kwenye goti lake lililojeruhiwa, na badala yake amechagua kufanyiwa matibabu ya kawaida bila kupasuliwa.

Paul Pogba

Pogba amefanya uamuzi huo ili apate nafasi ya kushiiriki michuano ya kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza mwezi Novemba mwaka huu nchini Qatar, kwani endapo atakubali kufanyiwa upasuaji basi atalazimika kukaa nje kwa zaidi ya miezi minne kitendo ambacho kitamfanya ashindwe kushirikishi michuano hiyo mikubwa ya soka Duniani.

Nyota huyo wa kimataifa wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 29 anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua wiki tano kama matibabu yataenda vizuri vile inavyotarajiwa, lakini endapo hali ikiwa tofauti basi huenda akakosekana kwa kipindi kirefu zaidi ya hapo.

Pogba alipata jeraha hilo la goti ikiwa ni wiki tatu tu tangu ajiunge tena kwa mara ya pili na Kibibi kizee hicho cha Turin (Juventus) kwa mkataba wa maika minne akitokea Manchester united alipodumu kwa kipindi cha miaka 6 akiwa amejiunga kwa mara ya pili na mashetani hao wekundu akitokea Juventus aliporejea hivi sasa.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini