Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City waanza matizi

Friday , 29th Jul , 2022

Mbeya City imeendelea kujifua kwa ajili ya msimu ujao, huku Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Anthony Mwamlima akielezea ubora wa nyota wake katika mazoezi yao akiahidi makubwa pale Ligi Kuu itakapoanza, Agosti 17 mwaka huu.

kikosi cha Mbeya City.

Timu hiyo ilianzia mazoezi tangu Jumamosi ya wiki iliyopita, ambapo leo  imeendelea na program licha ya kutokuwa na Kocha Mkuu, baada ya aliyekuwepo Mathias Lule kutimkia Singida Big Stars.

 katika uwanja wao wa mazoezi, Isyesye ilishuhudiwa sura za nyota wapya ambao tayari zimesaini kuitumikia timu hiyo ikiwa ni Tariq Seif, Chesco Mwasimba, Ibrahim Ndunguli na Sixtus Sabilo huku wengine wakitarajiwa kuwasili muda wowote akiwamo Nassor Machezo.

Akizungumza baada ya mazoezi hayo, Mwamlima amesema amefurahishwa na nidhamu ya nyota wake kadri siku zinavyokwenda lakini wanaimarika kiufundi.

Amesema pamoja na kutokuwa na Kocha Mkuu, lakini wanaendelea na program ambapo kesho watasafiri kwa ajili ya mechi yao ya kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar.

"Leo ilikuwa ni mwendelezo wa mazoezi kwa ajili ya msimu ujao, nimeona vijana wanaimarika japokuwa bado hawajakamilika wote ila hivi karibuni tutakuwa tumetimia, usajili bado kama watatu ili kufunga rasmi," amesema Mwamlima.

Hata hivyo imeelezwa kuwa Kocha Mkuu anatarajia kuwasili Jumamosi, ambapo ataungana na timu hiyo mkoani Morogoro kutokea nchini Uganda japokuwa majina yake yameendelea kuwa siri.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu