Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maonesho ya wafanyabiashara mkoa wa Mara

Wednesday , 20th Jul , 2022

Zaidi ya makampuni 500 kutoka ndani na nje ya nchi yanatarajiwa kushiriki  katika maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Mara International Business Expo yatakayofanyika mkoani Mara mwezi Septemba mwaka huu huku wafanya biashara zaidi ya 5000 wakitegemewa kushiriki maonyesho hayo

Mwenyekiti wa Chemba ya wafanyabiashara (TCCIA) Boniphace Ndengo

Akiongea na waandishi wa wahabri Mwenyekiti wa Chemba ya wafanyabiashara (TCCIA) Boniphace Ndengo amesema mkoa wa mara unafursa nyingi ambazo hazijafunguka hivyo kwa kuwepo kwa maonyesho haya mkoa wa mara utafunguka kibiashara na kiuchumi.

“Mkoa wetu una fursa nyingi ambazo hazijafunguka kwani Mkoa unafursa ya utalii, madini pamoja na fukwe nzuri za ziwa Victoria ambazo hazijulikani hivyo sisi kama chemba ya wafanyabiashara tumeliona hili na kuamua kuanziasha maonyesho haya ambayo yatakutanisha watu kutoka mataifa mbalimbali kutoka katika pembe zote za duania” amesema Ndengo Mmwenyekiti TCCIA.

Maonyesho ya kimataifa ya wafanyabiashara yanatarajiwa kuanza September 2 - 11 mkoani hapa katika uwanja wa kumbukumbu ya Karume ambapo katika maonyesho hayo yatajumuisha sekta zote za Madini, Kilimo, Uvuvi Viwanda pamoja na wajasiliamali wa Nyanja zote huku wafanayabiashara kutoka nje wakitegemewa kuonyesha bidhaa zao .

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi