Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morocco kuumana na Afrika kusini Fainali WAFCON

Tuesday , 19th Jul , 2022

Timu ya taifa ya Afrika kusini wamepata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Zambia na kutinga hatua ya fainali ya michuano ya mataifa huru ya Afrika ya Wanawake 'WAFCON' kwa goli liliofungwa na Linda Motlhalo kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 90.

Wenyeji wa michuano ya WAFCON 2022 timu ya taifa ya wanawake ya Morocco

Kwenye nusu fainali ya pili, wenyeji Morocco nao walifanikiwa kutinga fainali baada ya kuwalaza Nigeria kwa mikwaju ya penati 5 kwa 4 baada ya dakika 90 za mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.

Nigeria walikua wa kwanza kupata goli baada ya Yasmin Mrabet wa Morocco kujifunga katika dakika ya 62, goli liliodumu kwa dakika 4 tu kabla ya Morocco kusawazisha kupitia kwa Sanaa Mssoudy katika dakika ya 66.

Sasa Zambia na Nigeria zitapambana katika mchezo wa kuwania nafasi ya mshindi wa tatu mchezo utakao pigwa ijumaa hii Julai 22, 2022 katika uwanja wa Mfalme Mohammed wa tano nchini Morocco majira ya saa 5:00 usiku.

Nao wenyeji Morocco wataumana na Africa ya kusini katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo mikubwa ya soka la wanawake barani Africa siku ya Jumamosi Julai 23, 2022 katika uwanja huo huo wa mfalme wa tano wa Morocco majira ya saa 5:00 usiku.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala