Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yajiondoa shindano la nani zaidi

Thursday , 16th Jun , 2022

Uongozi wa klabu ya Yanga umethibitisha kuwaandikia barua waandaji wa shindano la Nani Zaidi, kujiondoa rasmi kwenye shindano hilo linalohusisha mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga kuchangia vilabu vyao.

Msemaji wa Yanga Haji Manara

Msemaji wa Yanga Haji Manara amethibitisha kwa mabingwa hao wapya wa ligi kuu Tanzania Bara kwa msimu 2021/22 kuwaandikia kampuni ya Azam PayTv ambao ni waandaji wa shindano hilo lililozinduliwa mnamo Juni 2,2022 jijini Dar es Salaam.

“Ni kweli tumeandika barua ya kujitoa kwenye shindano la Nani Zaidi,lakini klabu itatoa taarifa rasmi kwa nini tumeandika barua ya kujiondoa kwa sababu haya mambo yanahitaji sheria kuyaelezea“’amesema Manara

Katika hatua nyingine,Manara ameelezea kuhusu utaratibu wa kukabidhiwa kombe lao la ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara kwa msimu huu ambapo watakabidhiwa kwenye mchezo dhidi ya Mbeya City utakaofanyika kwenye dimba la Sokoine jijini Mbeya mnamo siku ya Juni 25,2022

Yanga inaingia kambini kesho kujiwinda na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Polisi Tanzania ambapo klabu hiyo utatumia mchezo huo kuwaaga mashabiki wao kwani utakuwa mchezo wa mwisho kucheza kwa msimu huu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa,Jijini Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala