Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aibana serikali taulo za kike

Tuesday , 31st May , 2022

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Neema Rugangira ameitaka serikali kuja na mpango wa kuhakikisha mtoto wa kike hakosi shule.

Mhe. Neema Rugangira akichangia bungeni

Kutokana na tafiti ya NIMRI ya mwaka 2021 ilionyesha watoto wengi wa kike hasa wa vijijini wanakosa shule kwa sababu yakuwa kwenye hedhi na moja ya sababu ni kukosa taulo za kike.

Mhe. Neema Lugangira mwaka jana ajitolea taulo za kike kwa wanafunzi 42 kupitia Kampeni ya Namthamini ambayo kwa sasa inakusanya michango ajili ya kusaidia watoto wa kike mashuleni tena kwa mwaka wa 6.

Unaweza kuchangia Kampeni ya Namthamini kupitia namba yetu ya ofisi 0787633313 kwa jina la East Africa Television. Pia unaweza kutuma kupitia
1. M-Pesa kwa lipa namba 5999900 jina East Africa Television.
2.  Akaunti namba 0150431938200 CRDB  jina NAMTHAMINI

Pia unaweza kuwasilisha mchango wako wa PEDI au fedha katika ofisi za East Africa Television na East Africa Radio, Mikocheni Dar es salaam.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini