Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga wajinasibu na rekodi bora CCM Kirumba

Wednesday , 25th May , 2022

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Hassan Bumbuli amejinasibu kuwa rekodi zinawabeba dhidi ya Simba katika michezo waliocheza Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Yanga watacheza dhidi ya Simba kwa mara ya 4 msimu huu

Miamba hii ya soka nchini itakutana Jumamosi hii Mei 28 katika uwanja wa CCM Kirumba kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup. Kuelekea mchezo huu Bumbuli amesea Jiji la Mwanza na uwanja wa Kirumba ni nyumbani kwa Yanga na anaamini hii inatosha kuwapa matokeo katika mchezo huo utakaocheza majira ya Saa 9:30 Alasiri.

 

''Uwanja wa CCM Kirumba ni uwanja wa nyumbani wa Yanga, na tukizungumzia Mwanza ni sehemu ya nyumbani ya Yanga. Katika mechi 4 maarufu ambazo zinakumbukwa hapa Mwanza, ni ile ya mwaka 1975. Ile ndo mechi inayoshikiria rekodi kubwa zaidi na inakumbukwa zaidi ya magoli 2-1, ambayo tulishinda. Katika miaka 20 iliyopita Simba ilipata ushindi mechi moja, lakini zilizofata tuliwapiga 3 taliwapiga 1-0.'' Amesema Bumbuli.

Kwa upande mwingine Bumbuli amethibitishwa kuwa kikosi hicho kitarejea jijini Mwanza siku ya Ijumaa Mei 27, kikitokea mkoani Shinyanga ambako kimeweka kambi ya mazoezi kujiandaa na mchezo huo wa nusu fainali dhidi ya watani zao. Na ameweka wazi kuwa hakuna mchezaji hata mmoja mwenye majeruhi wachezaji wote wapo vizuri kuelekea mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi