Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tsonga atangaza kustaafu Tennis

Wednesday , 25th May , 2022

Nyota wa mchezo wa tennis Mfaransa Jo-Wilfried Tsonga ametangaza kustaafu mchezo huo baada ya kuondoshwa na Mnorway Casper Ruud kwa seti 6-7 (6-8) 7-6 (7-4) 6-2 7-6 na (7-0) kwenye michuano ya wazi ya Ufaransa (Frenc open 2022).

Nyota Jo-Wilfried Tsonga akiwaaga mashabiki wake

Tsonga mwenye umri wa miaka 37,amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya mguu tangu mwaka 2020,Amehitimisha miaka 18 ya kucheza mchezo wa tennis akishinda kwenye michezo 467 huku akijivunia kushika nafasi ya 5 kwa viwango vya ubora duniani kwa mchezo wa tennis.

"leo ni siku kubwa kwangu ,siku ya kusema kwaherini na kuwashukuru watu wote mliokuwa nami kwenye safari yangu ya mchezo wa tennis na najiona mtu mwenye bahati kupata nafasi ya kuwa mmoja wa kizazi bora cha mchezo wa tennis kutoka nchini Ufaransa “ amesema Tsonga.

Nyota huyo ameshinda mataji 18 sambamba na kufika fainali mbili za Wimbledon na hatua mbili za nusu fainali ya michuano ya wazi ya Ufaransa pamoja na kutwaa taji la Davis Cup mwaka 2017.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi