Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunalipa faini CAF , Simba

Tuesday , 17th May , 2022

Uongozi wa klabu ya Simba umekiri kosa na kubainisha kuwa ipo tayari kulipa faini ambayo Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imewatoza.

kikosi cha Simba.

Jana CAF ilieleza kuitoza klabu hiyo faini ya Sh23 Milioni kwa kosa la kuwasha moto eneo la katikati ya uwanja wakati wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya kusali.

Picha za tukio hilo zilisambaa wakati wa mchezo wa marudiano wa robo fainali ya CAF nchini Afrika Kusini, Simba ilipocheza na wenyeji, Orlando Pirates.

Katika mchezo huo, Simba ilifungwa bao 1-0 na kuondoshwa kwa mikwaju ya penalti kufuatia ushindi wa bao 1-0 ilioupata awali nyumbani kwenye uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam huku wenyeji wakitinga nusu fainali.

Kauli hiyo imesemwa na Mkurungezi wa kitengo cha habari wa Simba, Ahmed Ally amesema hawana cha kujitetea kwenye adhabu hiyo, ni kosa walifanya hivyo hawana budi kulipa faini hiyo.

'Taarifa za adhabu hiyo tunazo na hatuna budi kulipa faini kwa kuwa ni kosa ambalo limeshafanyika na CAF imetoa adhabu yake," amesema Ahmed.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi