Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia ameondoa urasimu huu kwa miezi 8

Sunday , 28th Nov , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amesema kwa miezi nane ya serikali ya Awamu ya Sita, wamefanikiwa kuondoa urasimu kwenye mambo mbalimbali ikiwemo vibali vya kazi pamoja na uwekezaji.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu

Rais Samia ameyasema hayo leo Novemba 28, 2021, wakati akihutubia taifa mbele ya mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni kwenye viwanja vya Ikulu kufunga kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda.

''Nafarijika kusema jiihada tulizochukua kwa kipindi kifupi cha takribani miezi 8, zimeleta chachu ya kuongezeka uwekezaji na idadi ya ajira zinazotarajiwa kutokana na miradi iliyoandikishwa,'' ameeleza Rais Samia Suluhu.

Kwa upande wa vibali vya kazi amesema, ''Maboresho na jitihada yamepelekea kupungua kwa muda wa upatikanaji wa vibali vya kazi kwa kuondoa urasimu na sasa hata ndani ya siku moja mwombaji anaweza kupata kibali kupitia mfumo wa E-Permit. Mfumo huu pia unaruhusu upatikanaji kibali cha ukaazi katika kadi moja, kabla ya hapo kibali kilikuwa kinachukua miezi 6 au zaidi,''.

Rais Yoweri Museveni yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo aliwasili jana Jumamosi Novemba 27, 2021.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini