Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majaliwa atuma timu ya uchunguzi walioharibu reli

Tuesday , 16th Nov , 2021

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema atapeleka timu maalum kwa ajili ya kuchunguza uharibifu wa reli iliyojengwa na Serikali kwenye kiwanda cha kuzalisha Nondo cha Kilua kilichopo Mlandizi Mkoani Pwani.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Amesema kuwa Serikali iliamua kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa reli katika kiwanda hicho ili kurahisisha usafirishaji wa nondo kutoka kiwandani hapo kwenda katika maeneo mbalimbali nchini kupitia reli ya kati.

Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumatatu Novemba 15, 2021) wakati alipotembelea kiwanda cha kuzalisha nondo cha Kilua kilichopo Mlandizi Mkoani Pwani.

“Kampuni yenyewe ndiyo iliyoandika barua kuomba reli na Serikali ilitenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa reli kwenye kiwanda hiki, lakini mmeamua kuiua na kuijengea zege na vyuma vingine mmechukua”

Waziri Mkuu amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji ili kuhakikisha wanafaidika kutokana na shughuli zao za uwekezaji hapa nchini.

Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi