Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atoa miezi 3 kwa watendaji maji yatoke

Monday , 13th Sep , 2021

Waziri wa Maji Jumaa Aweso, ametoa muda wa miezi mitatu kwa watalaam wa maji kutoka wizarani na wahandisi wa maji wilayani Karagwe mkoani Kagera kuhakikisha miradi yote ambayo imekamilika lakini haitoi maji, inakamilika ndani ya kipindi hicho na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Akizungumza baada ya kutembelea chanzo cha maji cha Omururongo kilichoko wilayani humo, Waziri Aweso, amesema kuwa timu ya wataalamu kutoka wizarani inapaswa kuwasili Jumatatu ya leo katika wilaya ya Karagwe, na kuanza kushughulikia tatizo hilo.

Wakizungumza katika mkutano wa hadhara mbele ya Waziri huyo, baadhi ya wakazi wa miji ya Kayanga na Omurushaka, iliyoko wilayani humo wamesema kuwa wanakabiliwa na tatizo la uhaba wa maji, hali inayosababisha kununua ndoo moja ya maji yenye ujazo wa lita 20 kwa kati ya shilingi 500 hadi 1,000 kutoka katika visima vya watu binafsi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala