Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia awarejesha Makamba na Mbarawa

Monday , 13th Sep , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza la Mawaziri akiwateua January Makamba, Dkt. Stergomena Tax, Prof. Makame Mbarawa, na Dkt. Ashatu Kijaji.

Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana Septemba 12, 2021, Rais Samia amemteua Mbunge wa Bumbuli January Makamba kuwa Waziri wa Nishati, akichukua nafasi ya Merdard Kalemani ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Aidha, Rais amemteua Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari akichukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Dkt. Ashatu Kijaji

Pia amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, akichukua nafasi ya iliyoachwa na Marehemu Elias Kwandikwa.

Dkt. Stergomena Tax

Naye Prof. Makame Mbarawa ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi akichukua nafasi ya Mhandishi Dkt. Leonard Chamuriho ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Prof. Makame Mbarawa

Wakati huo pia Rais Samia amemteua Dkt. Eliezer Feleshi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Prof. Adelardus Kirangi ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Dkt. Eliezer Feleshi

Viongozi hao wote walioteuliwa jana wataapishwa leo katika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi