Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bucks yatwaa ubingwa wa NBA baada ya miaka 50

Wednesday , 21st Jul , 2021

Baada ya miaka 50, hatimaye timu ya Milwaukee Bucks imeshinda ubingwa wa ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA baada ya kuibuka na ushindi wa alama 105 kwa 98 dhidi ya Phoenix Suns kwenye mchezo wa sita wa fainali uliochezwa alfajiri ya leo.

Wachezaji wa Milwaukee Bucks wakishangilia ubingwa

Bucks wanatwaa ubingwa huu baada ya kushindi mchezo wa nne kati ya sita iliyochezwa kwenye mfululizo wa michezo 7 iliyopaswa kuchezwa ya fainali ambapo Phoenix Suns wameshinda michezo miwili tu kati ya sita, Mara ya mwisho timu hiyo kutwaa ubingwa wa NBA ilikuwa mwaka 1971.

Mchezaji nyota wa timu hiyo Giannis Antetokounmpo ameibuka kuwa mchezaji bora wa fainali baada ya kufunga alama 50, mipira iliyorudi (rebounds) 14 na akitoa usaidizi wa pasi za kufunga (assists) 2, na Khris Middleton nae amefunga alama 17 na ametoa pasi za usaidizi wa kufunga 5.

Kwa upande wa Phoenix Suns ambao hawajawahi kutwaa ubingwa wa NBA wanapaswa kusubiri tena lakini mchezaji nyina na mkongwe Chris Paul kwenye mchezo wa leo amefunga jumla ya alama 26 na pasi za kufunga (assists) 5 na mchezaji mwenzake Devin Booker amefunga alama 19 , na pasi za kufunga 5.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala