Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afrika Kusini hakuna Mtanzania aliyeathiriwa

Friday , 16th Jul , 2021

Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi, amesema kuwa hadi sasa bado hajapokea taarifa rasmi kama kuna Mtanzania yeyote aliyeshiriki katika maandamano yanayoendelea nchini humo ama kuathiriwa biashara zake.

Polisi wakikabiliana na uporaji katika maduka nchini Afrika Kusini

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 16, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast Menu Mpya cha East Africa Radio na kueleza kuwa wamekuwa wakijitahidi kuwasiliana na Jumuiya za Watanzania nchini humo, ili waweze kupata taarifa ya kile kinachoendelea katika maeneo yao.

"Mpaka sasa hivi hatujapata tarifa yoyote rasmi kama kuna Mtanzania kaharibiwa biashara ama kuhusika kwenye maandamano, lakini tunawasiliana na Jumuiya za Watanzania waendelee kutupa taarifa kila siku juu ya nini kinaendelea," amesema Balozi Milanzi.

Aidha, Balozi Milanzi ameoongeza kuwa, "Licha ya kwamba hatuna taarifa lakini tunachojua tu ni kwamba maeneo yote sasa hivi karibu wote wameathirika, basi kama siyo kwenye biashara zao lakini hali kwa ujumla, mfano kwa Zulu-Natal maisha yamekuwa magumu sababu maduka yamefungwa wala magari hayatembei".

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala