Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msijenge nyumba kiholela- Dkt. Mabula

Thursday , 8th Jul , 2021

Mbunge wa Jimbo la Ilemela ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula amewataka wananchi kufuata sheria na taratibu za ardhi na mipango miji pindi wanapotaka kujenga ili kujiepusha na hasara zinazoweza kujitokeza ikiwemo kuvunjiwa nyumba zao.

Pichani Mbunge wa Jimbo la Ilemela ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula

Dkt. Mabula amesema hayo akizungumza na wananchi wa kata za Kahama na Kiseke ikiwa ni muendelezo wa ziara yake, ambapo aliwataka wananchi kuhakikisha kabla ya kununua eneo na kulifanyia maendeleo kujiridhisha na matumizi sahihi ya ardhi ya eneo hilo kwa kushirikisha ofisi za ardhi za majiji na Manispaa za eneo husika ili kupunguza migogoro na kuingia hasara.

“Ni marufuku kujenga kiholela katika maeneo yote ya Manispaa kwa sababu yalishatangazwa kama maeneo ya miji, huwezi kufanya uendelezaji wowote bila kuwa na kibali, bila kuwa na ramani, bila kuhusisha ofisi zinazohusika,” amesema Dkt. Mabula.

Sambamba na hilo Dkt. Mabula amewataka wananchi kuacha kununua ardhi kiholela kwani kila kipande cha ardhi kimepangiwa matumizi yake.

Kwa upande wake mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Afisa Ardhi na Mipango Miji Shukran Kyando amekemea vitendo vya matumizi ya ardhi bila vibali vya Manispaa ikiwemo kuendesha biashara ya ufyatuaji wa matofali katikati ya makazi ya watu jambo linalochangia uharibifu wa mazingira kwa kuzalisha kelele.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala