Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uteuzi wa maDC wagusa kila kada

Sunday , 20th Jun , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, aliwahi kunukuliwa kuwa katika kujenga nchi atateua watu kwa kujali uwezo wao katika kuisaidia nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan.

Kauli hii imejidhihirisha kwenye uteuzi wa Wakuu wa Wilaya ambapo amegusa makundi mbalimbali huku watu wanaojihusisha na masuala ya Kijamii pamoja na wanasiasa wakipata nafasi.

Kwa upande wa Jamii uteuzi umemgusa Basilla Mwanukuzi ambaye ni mshindi wa Miss Tanzania miaka ya nyuma na kwa muda mrefu amekuwa akishughulika na masuala ya ustawi wa wanawake huku kwasasa akiwa ni mwandaaji wa shindano la Miss Tanzania. Amekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Tanga.

Wanasiasa chipukizi nao hawajaachwa nyuma ambapo wapo Mbunge wa zamani Halima Bulembo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza.

Aidha wapo pia mbunge wa zamani Peter Lijualikali, ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nkasi.

Aliyewahi kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara.

Mwanasiasa na Mwanasheria Albert Msando pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro.

Chini ni orodha kamili ya Wakuu wa Wilaya.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala