Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mzee Matata amenikabidhi familia yake" - Sumaku

Thursday , 17th Jun , 2021

Muigizaji wa tamthilia ya vichekesho ya Mizengwe Mzee Sumaku amefunguka kusema Marehemu Mzee Matata alifahamu kifo chake kwani kabla ya umauti alimkabidhi mke na watoto wake wanne.

Kutoka kulia ni Safina, kati ni Mzee Matata kulia ni Mkwere

Mzee Sumaku anasema kauli hiyo aliambiwa Hospitali akiwa na Mke wa Mzee Matata na ilimuuma sana kwani alishajua anaashiria nini na alikuwa anaona hawezi kupona. 

"Matata na mimi ni zaidi ya ndugu, mara ya mwisho tulikuwa Temeke Hospitali alipozidiwa aliinita mbele ya Mkewe, akaniambia nikifa familia yangu nakuachia wewe naomba unilelee wanangu kile kitu kiliniuma sana, nilijaribu kumpa nguvu ila nilishajua anaashiria nini tayari alioona haponi" amesema Mzee Sumaku 

Mzee Matata alikuwa ana jumla ya watoto wanne na mke mmoja pia hana muda mrefu kwenye maisha yake ya ndoa.

Mazishi yaMzee Matata yanafanyika leo saa 7:00 Mchana kwenye Makaburi ya Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi