Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VPL michezo mitatu leo, Yanga inashuka dimbani

Thursday , 17th Jun , 2021

Ligi Kuu Tanzania bara raundi ya 31, itaendelea tena leo kwa michezo mitatu kuchewa jijini Dar es salaam, Dodoma na huko mkoani shinyanga, mchezo unaosubiliwa kwa hamu ni ule wa Ruvu Shooting dhidi ya Yanga utakao chezwa Saa 1:00 Usiku.

Wachezaji wa Yanga

Mchezo wa mapema unachezwa majira ya Saa 8 mchana. Mwadui FC ambao wameshashuka daraja watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar wanao shika nafasi ya 13 kwenye ligi wakiwa na alama 34, mchezo huu unachezwa katika dimba la Mwadui Complex huko mkoani shinyanga.

Saa 10:00 Jioni Dodoma Jiji watakuwa wenyeji wa KMC ya Dar es salaam katika Dimba la Jamuhuri. Timu hizi zinatofautiana alama 2 tu kwenye msimamo, KMC wapo juu wakiwa nafasi ya 6 na alama zao 41 wakati Dodoma wana alama 39 wakiwa nafasi ya 9. Mchezo wa mkondo wa kwanza KMC ilishinda kwa bao 1-0.

Na Mchezo wa Mwisho kesho Ruvu shooting watakuwa wenyeji wa Yanga SC majira ya Saa 1:00 Usiku. Ruvu shooting watakuwa na kibarua cha kufuta uteja mbele ya Yanga, kwani kwenye michezo 8 ya mwisho kukutana wameshinda mara moja tu, na mchezo wa mkondo wa kwanza msimu huu walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1.

Ruvu shooting wapo nafasi ya 10 na alama 37, wakati Yanga wana alama 61 wakiwa wanamili nafasi ya pili.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi