Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ubinafsi kikwazo kwa vijana kutoendelea

Sunday , 16th May , 2021

Ukiwa na passion na kitu chochote unaweza kukifanya na kufanikisha,hivyo kwa watu milioni 27.1 ya watanzania kuwa wanatumia internet unapaswa kujua utengeneze kitu gani ili uweze kupata soko.’

Hayo yameelezwa na Benson Shirima mbunifu kupitia Teknolojia wakati akihojiwa na EATV ambapo ameongeza kuna vijana wengi wamemaliza katika vyuo vikuu katika fani za ICT,na wamekaa tu nyumbani kwamba ajira hakuna lakini nchi ina mahitaji mengi yanayohitaji suluhu

''Mimi wakati nasoma,tukifanya malipo ya ada na malipo mengine tulikuwa tunatumia muda mrefu unatoka hapa na kwenda dirisha hili,wakati ingetumika mtandao utakaorahisisha kutoa huduma ingesaidia ni kama sasa malipo mengi ya serikali yanafanyika kwa mtandao,hii inaondoa urasimu na kupoteza muda.'' Benson Shirima mteknolojia wa Mtandao

Akizungumzia vikwazo ambavyo vijana wanakumbana navyo wakati wanataka kujiajiri kupitia Mtandao,anasema cha kwanza ni uthubutu,kuwa nikifeli itakuaje na ubinafsi miongoni mwa vijana.

Ameongeza kuwa ubinafsi huwakwamisha vijana katika kupiga hatua katika kuungana, mfano nina wazo langu na sitaki kushirikisha wengine,na nataka kutengeneza ufalme wa mtu mmoja,na pia kushirikiana na wengine siwezi kwa hofu ya kushika nafasi zetu,na hatuhitaji kuwa na wafalme wawili,haya yote hukwamisha vijana kusonga..

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20