Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waislamu washerehekee Eid hivi- Sheikh Alhad

Friday , 14th May , 2021

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amesema mtu yeyote anayekusudia kufanya maasi katika siku ya Eid anadhihirisha ni kwa jinsi gani alikuwa hajafunga bali kushinda njaa kwa siku 30.

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum

Akizungumza katika mahojiano na kipindi cha East Africa Radio Sheikh Alhad amesema uaminifu uliokuwepo katika kipindi chote cha mfungo wa  Ramadhani unatakiwa uendelezwe katika shughuli zote na maisha kwa ujumla.

"Muislamu anatakiwa kuyaendeleza aliyojifunza katika mwezi wa ramadhani, mtu ambaye amejipanga kufanya maasi siku ya Eid, huyu ni mtu ambaye anaonyesha dalili kwamba funga yake ilikuwa ni patupu, alikaa tu na njaa muda wote wa siku 30" amesema Sheikh Alhad 

"Sisi waislamu hatutakiwi tujipange kwa ajili ya kutenda maasi kwa ulevi, au kwa matendo machafu mbalimbali, ni jambo lisilofaa na linaonesha watu hawajaelewa lengo na dhumuni la mfungo wa ramadhani" aliongeza Sheikh Alhad

Akizungumzia namna ya kusherehekea sikukuu hii ya Eid al-fitr, Sheikh Alhad amewataka waislamu kusherehekea kwa kuchunga mipaka ya Mwenyezi Mungu na kuwasisitizia wazazi kuwapeleka watoto katika maeneo salama na yasiyo hatarishi.                                                                                                        

"Namna ya kusherehekea ni kwa kuchunga mipaka ya Mwenyezi Mungu, watu waende maeneo yanayofaa, tuwapelekee watoto wetu maeneo salama na si hatarishi, mabinti wetu wasichaganyike na wavulana katika fukwe na kurudi saa nne usiku," amesema Sheikh Alhad

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala