Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba SC kuifata Kaizer Chiefs kesho

Monday , 10th May , 2021

Klabu ya Simba SC itaondoka nchini kesho Mei 11, 2021 kuelekea Afrika ya Kusini, kikosi hicho kitacheza mchezo wa klabu bingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs Mei 15, 2021.

Kikosi cha Simba SC

Taarifa iliyotolewa na mabingwa hao wa Tanzania bara imeeleza,

''Kikosi cha mabingwa wa nchi kitaondoka alfajiri ya jumanne Mei 11, 2021 (saa 9:45) kuelekea Afrika Kusini kupitia Kenya tayari kwa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa siku ya Jumamosi Mei 15, 2021''

Simba SC ilitinga hatua robo fainali baada ya kumaliza vinara wa kundi A wakiwa na alama 13 baada ya kushinda michezo 4 wametoka sare mchezo mmoja na walifungwa mchezo mmoja, Wekundu wa msimbazi walimaliza vinara wa kundi hilo mbele ya mabingwa watetezi Al Ahly ya Misri, AS Vital na AL Merrikh.

Na wanaanzia ugenini kutika mchezo huu kutokana na faida za kikanunu za kumaliza vinara wa kundi, kwa mujibu wa kanuni za CAF timu zinazomaliza kama vinara wa makundi zinapewa faida ya kuanzia ugenini na kumalizia nyumbani kwenye hatua ya robo fainali.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala