Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia atoa kauli mijadala ya bungeni

Sunday , 18th Apr , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka wabunge kuwa na mijadala inayojikita katika kupitisha bajeti za serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa badala mijadala amabayo haina tija kwa taifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan

Rais Samia amesema hayo katika Kongamano la kidini la taifa liliofanyika Dodoma ambapo ameeleza kuwa awamu ya Sita imeikita kuendeleza na kudumisha mema yaliyopita, yaliyopo na mapya na hiyo  ndio maana halisi ya kauli yakke ya ‘Kazi Iendelee' kwani kazi ilishafanywa hiovyo inaendelezwa .

“Nimekuwa nikifuatilia mijadala yenu bungeni, ni mijadala ambayo haina afya kwa taifa letu naomba sana kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha bajeti za sekta mbalimbali, bajeti ya serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu naomba jikiteni sana huko" amesema  Rais Samia

Pia Rais Samia ameeleza kuwa tiyari ameshaunda kamati ya kumshauri kuhusiana na hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa kama nchi kuhusuiana na anga la virusi vya corona.

“Nataka niwape taarifa kwamba tayari nimeshaunda kamati ya kunishauri kuhusu hatua tunazoweza kuchukua kama nchi jinsi tutakavyojikinga na janga la corona, na hivi punde nitakaa nao na uongozi wa Wizara ya Afya na Wizara ya Fedha ili kuona namna tutakavyokwenda na jambo hili” amesema Rais Samia
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi