Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wa awali wanasoma kama chuo Kikuu

Friday , 16th Apr , 2021

Mdau wa Elimu nchini Richard Mabala amesema kuna haja ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu na idara zake mbalimbali kupitia upya mifumo ya elimu na ufundishaji ili kuiboresha kwa manufaa ya wanafunzi wanaopita kwenye mifumo hiyo.

Mdau wa Elimu nchini Richard Mabala

Mabala ameyaeleza hayo leo kwenye mahojiano na kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, ambapo ametolea mfano namna wanafunzi wa shule za awali na msingi wanavyolazimika kutumia muda mwingi zaidi darasani kuliko uhalisia wa mahitaji ya elimu yao.

''Tukianza kwenye shule za awali wanasoma kama wanafunzi wa chuo kikuu, wanakaa kwenye madawati siku nzima. Mtoto mdogo anatakiwa kucheza kupanua ubunifu wake na uwezo wa kuchambua mambo,'' amesema Richard Mabala.

Aidha amesema mfumo wa sasa unamnyima mwanafunzi wigo mpana wa kuwa mbunifu ndio maana wahitimu wengi hata wale wa elimu ya juu wanashindwa kujiari.

''Tukiangalia kwa sasa kwenye mfumo wetu wa elimu, ubunifu unafundishwa wapi katika elimu yetu? Kwahiyo ni lazima tuangalie upya ili kuboresha uwezo wa wahitimu wetu,'' ameeleza.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini