Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maabara ya Taifa yaondolewa jukumu la COVID-19

Saturday , 27th Feb , 2021

Maabara ya Taifa imeondolewa katika orodha ya chaguo (option) la vituo vya kutolea sampuli za kupima COVID -19 kwa njia ya RT - PCR kwa wasafiri katika mfumo wa kutuma miadi wa pimacovid.moh.go.tz. 

Mfano wa sampuli iliyochukuliwa kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya Covid-19.

Kwa mabadiliko hayo, kuanzia Machi Mosi, 2021, wasafiri wote wanaohitaji kipimo hiki wanaelekezwa kupata huduma ya kuchukulia sampuli katika Vituo / hospitali za Mjini Dar es Salaam na Mikoani kote (ona kiambatanisho) na baadae kutumiwa vyeti kwa njia ya mfumo wa TEHAMA. 

Maelekezo hayo yametolewa leo na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, tangazo lililosainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Afya), Gerard Chami ambaye  amesisitiza haitaruhusiwa tena wasafiri kwenda moja kwa moja Maabara Kuu iliyoko Mabibo Dar es Salaam, kwa ajili ya kipimo au majibu au vyeti.

 "Lengo ni kuongeza ufanisi wa majibu na kuondoa mrundikano wa wasafiri katika maabara kuu," amebainisha, Maabara ya Taifa imekuwa ikichukua sampuli, ikizichakata, kuzipima, kutoa majibu pamoja na kuandaa vyeti kwa wasafiri  katika kutekeleza jukumu hilo, kumekua na wasafiri wengi wanaofika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kusababisha msongamano mkubwa katika eneo la maabara”, imesema taarifa ya Wizara

 Kwa mabadiliko mapya, Chami amesema wasafiri wanakumbushwa tena kuchukuliwa sampuli siku tatu (masaa 72) kabla ya kusafiri ili kuepuka kuchelewa kwa vyeti. 

"Wasafiri wote watatakiwa kwenda kwenye vituo vya kuchukulia sampuli kama ilivyotolewa kwenye Mwongozo wa Ushauri kwa Wasafiri (Travellers Advisory). Hivyo kuanzia tarehe 01 Machi, 2021 Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii haitapokea wasafiri na kuwachukua sampuli na badala yake itabaki na jukumu la kupiman kutoa vyeti ikiwa ndio jukumu lake la msingi," amesisitiza Chami.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala