Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

‘Wapotoshaji masuala ya TZ wapuuzwe’-Prof. Kabudi

Wednesday , 24th Feb , 2021

Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kupuuza taarifa za uzushi zinazosambaa mitandaoni kwamba Tanzania haichukui tahadhari za ugonjwa wa Corona.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi

Kauli hiyo ameitoa akiwa Jijini Paris nchini Ufaransa, alipokutana na kufanya mazungumzo na Watanzania waishio Ufaransa na kutumia nafasi hiyo kuwataka wapuuze propaganda na habari zisizo za kweli kuhusu Tanzania kwamba inapuuza hatua za kisayansi za kupambana na ugonjwa huo.
  

Profesa Kabudi amelazimika kueleza hatua ambazo Tanzania inazichukua katika kupambana na ugonjwa wa Corona baada ya baadhi ya Watanzania kuhoji kutokana na taarifa za upotoshaji zinazowafikia Watanzania waishio nje ya nchi kwa njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii bila ya kuwa na taarifa sahihi juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali.

Aidha, Waziri Kabudi ameongeza kuwa Tanzania kamwe haitajitenga na dunia katika jitihada za kutafuta suluhisho la ugonjwa wa corona na pia haitapuuza kutumia dawa zitokanazo na mitishamba kwa kuwa dunia bado inatafuta tiba na chanjo ya ugonjwa huo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala