Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amfumania mumewe ndani ya miezi miwili tu ya ndoa 

Tuesday , 23rd Feb , 2021

Mwalimu wa mahusiano na ndoa Rosemary Mallya, amesema kuwa yeye aliamua kufanya kila kitu ili kuleta amani katika ndoa yake baada ya kumfumania mume wake ikiwa imepita miezi miwili tu tangu wafunge ndoa yao.

Mwalimu wa mahusiano na ndoa, Rosemary Mallya

Rosemary ameyasema hayo hivi karibuni kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa, na kuongeza kuwa mwanamke aliyemfumania naye walikuwa wanafahamiana na wanatoka 'out' kwani alikuwa akimchukulia kama rafiki wa kawaida.

"Mimi nilikuwa kwenye ndoa ambayo ni ngumu sana nimeteseka sana, nilikuwa kwenye ndoa ambayo unajua kabisa mume wako ana mwanamke kabla hamjaingia kwenye ndoa halafu mpo kwenye vikao vya mwisho vya harusi, unafanyaje, unatokaje sasa unawadhalilisha wazazi wako unaanzaje kuwaambia wazazi wako kama siitaki tena hii ndoa nikasema potelea pote nitaolewa,"amesema Rosemary

"Nimeolewa Oktoba na Desemba nikamfumania mume wangu, nikaja kugundua kwamba mwanamke ambaye mimi natokaga naye kila siku na mume wangu na marafiki zangu kumbe ni mke mwenzangu na huyo mwanamke alikuwa ni rafiki wa mume wangu, katika kutatua magumu ya ndoa yangu nilifanya kila kitu," ameongeza kusema.

Tazama video hapa

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu