Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmoja ajaribu kumlawiti mtoto wa miaka nane

Friday , 20th Nov , 2020

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni imempandisha kizimbani, Alphonce Gerald, akikabiliwa na shtaka la kujaribu kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka nane.

Gerald (30), ambaye ni Mkazi wa Chanika Dar es Salaam, amefikishwa  Mahakamani hapo na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu  Silayo.

Akisoma shtaka hilo, mwendesha mashtaka wa umma, ASP Hamis Said, amedai kuwa Oktoba 26, 2020  eneo la Kigogo Mburahati, Dar es Salaam, mshtakiwa alijaribu kumlawiti mtoto huyo (jina limehifadhiwa).

Baada ya kusomewa shitaka hilo mshtakiwa alikana kutenda kosa hilo na upande wa mashtaka umedai upelelezi umekamilika, hivyo umeomba tarehe nyingine kwa ajili ya kumsomea mshitakiwa hoja za awali(Ph).

Hakimu Silayo, alitoa masharti ya dhamana kuwa mshtakiwa awe na wadhamini wawili wenye barua za utambulisho na kitambulisho cha Taifa, watakaotia saini dhamana ya milioni mbili  kwa kila mdhamini.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo ameshindwa kutimiza masharti, hivyo alirudishwa rumande hadi Desemba 2, mwaka huu kwa ajili ya kusomewa hoja za awali.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala