Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prophet Bushiri, mkewe kizimbani kwa utakatishaji

Wednesday , 21st Oct , 2020

'Prophet' ambaye ni Bushiri kiongozi wa kanisa la Enlightened Christian Gathering na mkewe wamefikishwa Mahakama maalum ya uhalifu wa kibiashara Jijiji Pretoria nchini Afrika Kusini Jumatano ya leo, Oktoba 21, 2020.

'Prophet' Bushiri na mkewe

Hartua hiyo imefuatia baada ya kutiwa mbaroni hapo jana Jumanne kwa tuhuma za utakatishaji fedha kiasi cha Randi Milioni 102 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya Bilioni 14.

Bushiri na mkewe walikamatwa nyumbani kwao baada ya kudaiwa kujaribu kuikwepa timu maalum ya Hawks iliyokuwa ikiwasaka, hivyo baada ya kukamatwa waliongozana na timu hiyo kuelekea kituo cha polisi cha Silverton na kikundi cha mawakili wao, amesema Msemaji wa Hawks Kanali Katlego Mogale.

Taarifa ya kanisa la Enlightened Christian Gathering ambayo ilitolewa kabla ya kukamatwa, inasema kwamba waliarifiwa na Mawakili wa Bushiri siku ya Jumatatu Alasiri kuwa Hawks waliomba kiongozi wao afike katika ofisi zao kuhusiana na uwekezaji wake unaohusiana na kampuni inayoitwa Rising Estate

Hii ni kesi ya pili ya utakatishaji fedha ambayo eerikali inafuatilia dhidi ya Prophet ambaye anayetajwa kuwa miongoni wa Wachungaji tajiri zaidi wa bara la Afrika.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni