Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli amkabidhi nyumba Mwinyi,akagua ya Kikwete

Sunday , 18th Oct , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli, amewataka wakandarasi kuharakisha ujenzi wa nyumba ya Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Kikwete.

Rais Mstaafu mwinyi na Mkewe wakiwa wameshikilia mfano wa funguo baada ya kukabidhiwa na Rais John Pombe Magufuli nyumba waliyojengewa kwa mujibu wa sheria.

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba, 18,2020 jijini Dar es salaam, wakati akikabidhi nyumba kwa Rais mstaafu wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi, ambapo pia amefanya ukaguzi wa nyumba ya Dkt.Jakaya Kikwete, na kudai kuwa nyumba hizo si zawadi bali zimejengwa kwa mujibu wa sheria.

       Kushoto ni Rais mstaafu awamu ya nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Kulia ni Rais Dkt. John Pombe           Magufuli

''Kama hamuwezi wapeni JKT kazi ya ''Ucontractor'' fanyeni kazi ikamilike mimi sasa nitakua nakuja siku nikiwa napitapita barabarani siku nyingine nitakua napita hapa tumeshakubaliana kabla 31 Januari'' amesema Dkt.John Magufuli

Aidha Rais Magufuli amemtaka mkandarasi kuongeza wafanyakazi kazi katika mgawanyo wa majukumu ili kukamilisha ujenzi huo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala