Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba aahidi neema kwa wananchi wa Mbeya

Friday , 16th Oct , 2020

Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wananchi,(CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa atahakikisha anaongeza upatikanaji wa umeme nchi nzima kwa kufua umeme wa megawatt 100 mpaka 200 kwa kutumia mradi wa makaa ya mawe yanayopatikana Kiwira wilayani Kyela mkoani Mbeya.

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibrahim Lipumba

Profesa Lipumba, amesema mradi wa kufua umeme kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwira ni mradi ambao hauchukui muda mrefu, hivyo serikali ingeweza kuongeza upatikanaji wa umeme nchi mzima kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwila.

Ameongeza kuwa mradi huo wa umeme ungeweza kusaidia kwa haraka wakati serikali inajipanga kupata fedha za kukamilisha mradi wa Bwawa la Nyerere, kwani mradi huo umeanzishwa kwanza badala ya kutekelezwa kwanza.

''Wakati tunajipanga vizuri kupata fedha za kukamilisha mradi wa stiegler's Gorge, haya ni mapungufu ya serikali ya CCM, hakuna sababu kwanini ule mradi wa kufua umeme wa megawatt 200 mpaka 300 kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwila mpaka hivi sasa bado haujatekelezwa", amesema Profesa Lipumba.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala