Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli amkumbuka Makonda kwa hili

Tuesday , 13th Oct , 2020

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli, amesema kuwa mtu wa kwanza aliyeomba ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Ubungo ni aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, na ndipo ujenzi huo ulipoanza.

Kushoto ni aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kulia ni mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 13, 2020, wakati akiomba kura kwa wakazi wa Ubungo na Kibamba, ambapo amewataka wasifanye makosa ya kumchanganyia na badala yake wachague madiwani na wabunge kutoka CCM.

"Hospitali ya wilaya ya Ubungo mnakumbuka siku ile tupo kwenye sherehe Airport, iliombwa na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, mpaka RC anaomba mbunge alikuwa wapi kuomba, tukaijenga kwa sababu Ubungo na Kibamba ilikuwa kama watoto yatima, msiendelee kuwa yatima", amesema Dkt Magufuli.

Katika hatua nyingine Dkt Magufuli amesema kuwa endapo Ubungo na Kibamba watamchagulia madiwani na wabunge kutoka CCM, atahakikisha anajenga makao makuu ya wilaya ya Ubungo kama ilivyo Kigamboni.

"Tupeni kura, msinikatishe tamaa ndugu zangu aombaye hupewa tumebembeleza mno basi mtupe, na anayepewa lazima ameoma ndiyo maana tumekuja hapa kwa unyenyekevu, mniletee madiwani wa CCM mniletee vijana hawa wawili Profesa Mkumbo na Mtemvu, mkiniletea hawa hamtajuta", ameongeza.

 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini