Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Kilimo yabainisha uhitaji wa korosho

Tuesday , 22nd Sep , 2020

Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba, ameweka wazi kuwa kuna fursa pana katika soko la korosho kutokana na nchi nyingi duniani zinahitaji korosho zilizobanguliwa.

Mhe. Mgumba amesema hayo akiwa kwenye mkutano na viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia zao la korosho ambapo amesema kwasasa tuna masoko mawili ya korosho ambayo ni India na Vietnam.

"Kwasasa tuna masoko mawili tu India na Vietnam zaidi ya hapo huwezi kuuza kwasababu wengine wanakula korosho zilizobanguliwa lakini kuna fursa pana la soko la korosho, kuna nchi za kiarabu, Ulaya,Marekani, China lakini wote wanahitaji korosho zilizobanguliwa” alisema Omary Mgumba

Aidha Mgumba amesema kuwa uongezwaji wa thamani wa korosho umekuwa wa kiasi cha chini sana huku akizitaja faidi zitokanazo na uongezwaji thamani wa zao hilo nchini kabla ya kusafirisha nje ya nchi ikiwa ni pamoja na kuongeza ajira na kupata bei nzuri ya korosho.

“Uongezwaji wa thamani wa zao la korosho pamoja na bidhaa zingine zitokanazo na korosho una faida nyingi ikiwa ni pamoja na kuongeza ajira kupata bei nzuri ya korosho kupanua wigo wa kodi kuinua uchumi wa nchi na kupata soko la uhakika wa korosho zinazozalishwa hapa nchini” alisema Omary Mgumba

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala