Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mataifa 15 kuleta waangalizi uchaguzi mkuu

Tuesday , 15th Sep , 2020

Tanzania imeruhusu nchi 15 kupitia balozi zao kuleta waangalizi wa kimataifa katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika oktoba 28 mwaka huu, baada ya balozi hizo kuwasilisha maombi na kufuata taratibu zilizowekwa.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.

Hayo yamesemwa  leo Septemba 15,2020 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Profesa Palamagamba Kabudi  jijini Dar es Salaam, wakati akifanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya Balozi Manfred Fanti, ambapo amesema kuwa kwa mara ya kwanza uchaguzi huo unafanyika kwa kutumia fedha za ndani na sio wahisani kama miaka iliyopita.

Mbali na Balozi wa Ulaya Profesa Kabudi pia amekutana na Balozi wa Italia Roberto Mengoni, na Balozi wa Poland ambapo amekabidhi vitabu vya sheria ,kanuni na miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya uchaguzi ili kuwapa fursa ya kufahamu jinsi uchaguzi unavyoendeshwa. 

Kwa upande wake  Balozi wa Umoja wa Ulaya Manfred Fanti amesema, ameridhishwa na namna kampeni zinazofanyika kwa uhuru na amani na sasa wanajiandaa na uangalizi wa uchaguzi huo.

Naye Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni amesema, anavutiwa na namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikitoa nafasi kwa wagombea wote bila ubaguzi na ambavyo Watanzania wanajitokeza kusikiliza sera na kudai kuwa ana imani kiongozi atakayechaguliwa atatokana na utashi wa wananchi.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi