Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mimi ni mrembo, natongozwa kila siku" - Elizabeth

Tuesday , 20th Aug , 2019

Miss Tanzania 2018/2019 Queen Elizabeth Makune afunguka ishu za kushirikiana na wasanii wa Bongo Movie kuzindua kampeni ya kutalii,urembo na utofauti wa maisha aliyonayo kwa sasa.

Miss Tanzania 2018/2019 Queen Elizabeth Makune

Queen Elizabeth Makune amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'Twenzetu Kutalii' ambapo amesema nia ya kampeni hiyo ni kuhamasisha watanzania wawe na utamaduni wa kutembelea vivutio vya utalii na risilimali zake.

"Tanzania ina vivutio vingi duniani inashika nafasi ya pili kwa ubora zaidi lakini pamoja na wingi wote huo wa vivutio na uzuri ila idadi ya watembeleaji ni wachache" amesema Queen Elizabeth.

Aidha Miss huyo amezungumzia suala la watu wengi kupenda kumtongoza ambapo amesema,

"Mimi ni mrembo na Miss Tanzania yaani nchi yote hii mimi ndio namba moja, kwa siku natongozwa mara nyingi sana na watu wa aina zote, kutongozwa ni sehemu ya mwanamke katika maisha ya kawaida na usipotongozwa itabidi ukafanyiwe maombi kanisani".

Pia ameendelea kusema yeye hana mahusiano na kigogo wowote wa serikali ila watu ndio wanasema hivyo na wala hana jibu sahihi juu ya suala hilo.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi