Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uwoya alitaka kuniharibia ndoa yangu"- Mwijaku

Friday , 9th Aug , 2019

Msanii wa filamu na tamthilia Mwijaku, ameeleza sababu ya yeye kutupiana maneno katika mitandao ya kijamii na msanii mwenzake Irene Uwoya.

Mwijaku amesimulia hayo kupitia EATV & EA Radio Digital baada wawili hao kujibizana kwa maneno katika mtandao kijamii wa Instagram hivi karibuni.

Si unajua sisi wanaume bwana, kabla sijaoa nilikuwa napenda kutongoza,sasa kile kitendo kilinifanya kujichomeka mahali, kwa hiyo kwa ile tabia alitaka kuweka wazi ili kuniharibia ndoa yangu kwa sababu ya kutongoza na kumtongoza na yeye”, amesema Mwijaku.

Aidha Mwijaku ameeleza kuwa Irene Uwoya hawezi kumuharibia kwa sababu kutongoza kwa wanaume ni jambo la kawaida na amekataa kusema kama alikubaliwa au alikataliwa baada ya kumtongoza Irene.

Irene Uwoya aliwahi kumuonya Mwijaku kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kwa akisema kuwa asimfuatilie maisha yake kwa sababu hapendi maneno na ana maovu yake mengi anayoyajua.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala