Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rosa Ree amkana msanii wa Kenya

Friday , 2nd Aug , 2019

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Rosa Ree 'Goddess Of Rap' amefunguka kuhusu mahusiano yake ya kimapenzi na msanii Timmy Tdat wa Kenya.

Rapa huyo wa kike amesema hayo kupitia EATV/Radio Digital baadaya kuulizwa kuhusu uhusiano wake na Timmy Tdat, ambapo amesema,

Timmy Tdat hajambo ila shemeji yenu mimi simfahamu, ni kazi kama mnavyoweza kuona hakuna hata siku moja mkatuona tuko pamoja kiundani, kingine ni washkaji sana, mimi nina mahusiano mengi ya M\Mungu, familia yangu, kazi na sina muda wa kuwa na mahusiano mengine ya aina yoyote

Wawili hao wamekuwa wakitajwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ya siri kutokana na ukaribu walikokuwa nao, muda mwingi walionekana pamoja, kupiga picha na pia kusafiri pamoja.

Rosa Ree na Timmy Tdat walianza kuonekana wakiwa pamoja mwanzoni mwa mwaka huu wakiwa nchini Kenya na Tanzania. Pia aliwahi kusema bado hajapata mwanaume wa kuwa naye.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala