
Picha ya Joel Lwaga

Picha ya msanii Marioo
Kaburi la Wilson Bahati

Picha ya Rick Ross

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wakifurahi tuzo walizozipata katika maonesho ya teknolojia ya madini Geita. GGML iliibuka na tuzo nne ikiwamo ya muoneshaji bora pamoja na mshindi wa jumla.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Dkt. Selemani Jafo akifungua Kongamano la pili la Kimataifa la Viongozi Vijana na Mabadiliko ya tabianchi (GLOBAL YOUTH CLIMATE SUMMIT) lililofanyika jijini Dar es Salaam Oktoba 04, 2023.