Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata chanjo ya #UVIKO_19 baaada uzinduzi wa zoezi la uchomaji wa Chanjo, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Julai, 2021.
Novak Djokovic(Kushoto) na Kei Nishikori(Kulia) pichani walipokutana kwenye michuano ya US Open mwaka 2014 .
Picha ya pamoja Steve Nyerere na Haji Manara
Kutoka kushoto pichani ni Steve RnB, Jux na Ben Pol
Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (NGOs Tanzania Bara) Mhe. Neema Lugangira (kushoto) akikabidhi mchango wake na kupokelewa na Mtangazaji wa Drive Show Justine Kessy
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akijiandaa kuchoma chano ya Corona


