
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akijiandaa kuchoma chano ya Corona
Kauli hiyo ameisema leo Ikulu ya Dar es Salaam, ambapo amesisitiza kwamba yeye ni Mama, Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania, Bibi na mke pia, hivyo asingejipeleka mwenyewe kwenye kifo licha ya kuwa na majukumu mengi kwenye Taifa.
Tazama video hapa chini