
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata chanjo ya #UVIKO_19 baaada uzinduzi wa zoezi la uchomaji wa Chanjo, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Julai, 2021.
28 Jul . 2021

Novak Djokovic(Kushoto) na Kei Nishikori(Kulia) pichani walipokutana kwenye michuano ya US Open mwaka 2014 .
28 Jul . 2021

Picha ya pamoja Steve Nyerere na Haji Manara
28 Jul . 2021

Kutoka kushoto pichani ni Steve RnB, Jux na Ben Pol
28 Jul . 2021

Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (NGOs Tanzania Bara) Mhe. Neema Lugangira (kushoto) akikabidhi mchango wake na kupokelewa na Mtangazaji wa Drive Show Justine Kessy
28 Jul . 2021

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akijiandaa kuchoma chano ya Corona
28 Jul . 2021