Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tupo tayari kwa mapambano- Mkosa

Tuesday , 29th Aug , 2017

Mchezaji wa timu ya Mchenga BBall Stars, Amini Mkosa amesema mechi ijayo ya 'game 5' za fainali za Sprite BBall Kings haitaweza kuwa rahisi kwa madai wapinzani wao TMT watakuja kwa kasi na nguvu zaidi ili waweze kujitetea kupata ushindi siku hiyo.

Mchezaji wa timu ya Mchenga BBall Stars, Amini Mkosa.

Mkosa amebainisha hayo baada ya timu yake kuchezea kichapo kutoka kwa TMT kwa pointi 80-79 katika mchezo wa nne fainali za Sprite BBall Kings uliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

"Mechi ijayo ya 'Game 5' haitakuwa rahisi ila tumejipanga vizuri hasa 'mentaly' kwa sababu tunajua wapinzani wetu watakuja kwa nguvu zaidi ili waweze kujihami washinde mchezo huo", alisema Mkosa.

Pamoja na hayo Mkosa ameendelea kwa kusema "tunajua tulipokosea 'last game so' tumerekebisha makosa yetu lakini pia tulikuwa na wachezaji wenzetu wawili ambao walikuwa majeruhi  ila sasa hivi wamerejea katika hali nzuri. Tuko tayari kwa mchezo wa mwisho kwa sababu hii mechi ndiyo 'final' maana zilizopita zilikuwa kama tunasherehesha ila hapa yoyote anaweza kuwa bingwa".

"Tuwatoe hofu mashabiki zetu kuwa hiyo 'game' inayofuata inshaallah tutafanya vizuri na kuondoka na ubingwa. Tunajua kama wao wameumia zaidi kwenye 'games' tulizopoteza, ila isiwafanye wakate tamaa  kutushangilia, tunawaomba wajitokeze kwa wingi kuja kui-support timu yao, nasi tutapambana kwa ajili yao kuhakikisha tunachukua huu ubingwa", alisisitiza Mkosa.

Mechi ya mwisho ya fainali za Sprite BBall Kings 'game 5' kati ya TMT na Mchenga BBall Stars inatarajia kuchezwa Septemba 2 mwaka huu katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi